Thursday, March 13, 2008

vyuo vingine bwana


Vyuo vingine bwana hebu cheki chuo ambacho kinatarajiwa kutoa cream ya uandishi wa habari hapa nchini hebu nambieni.

3 comments:

Simon Kitururu said...

DUH!

Anonymous said...

Sasa tatizo lipo wapi? ubora wa elimu si majengo mazuri we yahya charahani!Kama watapata mtaala mzuri na walimu wazuri watatowa waaandishi wazuri kulĂ­ko huko kwenye vyuo vya maghorofa! amka we yahya!

Anonymous said...

Nilitaka kuandika exactly what Mzee ANON hapo juu yangu ulichosema. Sasa kipi kianze kuelimisha watu au kupata majengo??? Watu lazima tuondokane na fikra mgando na kuacha kukebehi jitihada za kuleta elimu nchini.

SEKTA YA NYUMBA YAPATA MSUKUMO MPYA, NHC YATEKELEZA MIRADI YA MABILIONI NCHINI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo a kiwasilisha  Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ...