Wednesday, January 06, 2016

MAKAMU WA RAIS SAMIA AKAMILISHA ZIARA YAKE MKOANI GEITA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kalangalala Mkoani Geita baada ya kuzindua na kupokea Magreda yatakayoanza ujenzi wa Barabara ya Geseko itakayoharimu jumla ya Tshs 1.2 Bl hadi kukamilika. Wa pili kulia Mkuu wa Mkoa Geita Mhe. Fatma Mwassa.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Geita Gold Mining Terry Melpeter kwenye Uwanja wa Ndege wa GGM Geita baada ya kukamilisha ziara ya siku mbili ya kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo ya wananchi Mkoani humo leo.
 (Picha na OMR)

No comments:

RAIS MWINYI:HAYATI MZEE MKAPA NI MFANO WA KUIGWA KWA MCHANGO WAKE

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameeleza kuwa Hayati Mzee Mkapa atabaki kuwa mfano wa k...