Friday, June 12, 2015

MATUKIO BUNGENI MJINI DODOMA

1
Spika wa Bunge akiingia bungeni kabla ya bajeti ya serikali kusomwa bungeni mjini Dodoma Juni 11, 2015.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
3
 Waziri wa Fedha Saada Mkuya akiingia bungeni kusoma bajeti ya serikali juni 11, 2015.
4
Waziri wa Fedha Saada mkuya akisoma bajeti ya serikali, bungeni mjini Dodoma Juni 11, 2015.

No comments:

*KAMISHNA KUJI AKAGUA ENEO LA KOGATENDE SERENGETI ASISITIZA MAAFISA NA ASKARI UHIFADHI KUENDELEA KUSIMAMIA SHERIA ZA HIFADHI ILI KUIMARISHA SHUGHULI ZA UTALII

Na. Philipo Hassan - Serengeti Kamishna wa Uhifadhi, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) CPA Musa Nassoro Kuji, leo Julai 24, 2025...