Friday, June 12, 2015

MATUKIO BUNGENI MJINI DODOMA

1
Spika wa Bunge akiingia bungeni kabla ya bajeti ya serikali kusomwa bungeni mjini Dodoma Juni 11, 2015.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
3
 Waziri wa Fedha Saada Mkuya akiingia bungeni kusoma bajeti ya serikali juni 11, 2015.
4
Waziri wa Fedha Saada mkuya akisoma bajeti ya serikali, bungeni mjini Dodoma Juni 11, 2015.

No comments:

KUSANYENI KODI NA MADENI BILA KUOGOPA MTU YEYOTE– WAZIRI AKWILAPO ASEMA AKIZINDUA BODI MPYA YA NHC

  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Leonard Akwilapo, akimkabidhi Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),...