Monday, February 02, 2015

WABUNGE WAPEWA SEMINA YA USAMBAZAJI WA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2012

1
Waziri wa Uchukuzi Samuel Sitta ambaye amemuwakilisha Mgeni Rasmi Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akifungua Semina ya Usambazaji wa Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012 kwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyofanyika mjini Dodoma.
2
Waziri wa Fedha Saada Mkuya akitoa ufafanuzi juu ya maswali ya wabunge.
3
Kamishna wa Sensa Tanzania, Hajjat Amina Mrisho akisisitiza jambo wakati wa semina hiyo.
4
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akiwasilisha mada.
5
Waziri wa Uchukuzi Samuel Sitta ambaye amemuwakilisha Mgeni Rasmi wa Semina hiyo Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akiwa na Waziri wa Fedha Saada Mkuya.
6
Mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi, Goodluck Ole Medeye akichangia mada yake.
7
Mbunge wa jimbo la Mkanyageni, Mohamed Habibu Mnyaa akisisitaza jambo.
8
Waziri wa Sheria na Katiba Selina Kombani akichangia kwenye semina hiyo.
9
Baadhi ya wabunge waliohudhutia semina hiyo.
……………………………..
Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...