Monday, October 13, 2014

WIKI YA VIJANA YAENDELE KUWA CHACHU YA UZALENDO

TBR1Waziriwa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akiangalia Jarida katika banda la Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Dunia (UNFPA – Tanzania) alipotembelea katika Maonyesho ya  Wiki ya Vijana leo mjini Tabora. Kutoka kushoto ni Mchambuzi wa Miradi ya Vijana na Maendeleo wa  UNFPA – Tanzania Bi. Tausi Hassan na Mshauri wa Vijana wa Shirika hiloBw. John Kalimbwabo.
TBR2Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwezeshaji Vijana, Jinsia, Wanawake na Watoto ya Serikali ya Mapinduzi  Zanzibar Bw. Ally Hamisa konyesha nyaraka za vibali na sahihi za Wakuu wa Mikoa alipopita Kijana mzalendo Bw.Abiudi Denis aliyetembea nchi nzima kwa Siku 65 kwa lengo la kuhamasisha uzalendo ikiwemo kupinga Muundo wa Serikali Tatu, Kumpongeza Rais Jakaya Kikwete na Kupinga watu wanaombeza Hayati  Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere leo mjini Tabora wakati alipokea Bendera ya Taifa kutoka kwa kijana huyo kwenye Viwanja vya Maonyesho ya Wiki ya Vijana.
TBR3Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel  akitembelea mabanda wakati wa Maonesho ya  Wiki ya Vijana yanayoendelea katika Viwanja vya Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora.
Pichana Frank Shija, WHVUM

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA SOKO LA KISASA KARIAKOO LILILOGHARIMU BILIONI 28, SASA BIASHARA SAA 24

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Sok...