Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwongozo, Dar es Salaam, Bw. James Ngoitanile (wa nne kushoto), akifurahia kwa kuonesha mkasi juu baada ya kukata utepe kuzindua rasmi kisima cha maji safi, kilichojengwa kwa hisani ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), katika Zahanati ya Makuburi, Manispaa ya Kinondoni. Kulia ni Mganga Mkuu wa Zahanati hiyo, Dkt. Stella Kivugo na Meneja Mauzo wa TBL Kinondoni, Bw. Joseph Nicholaus (wa pili kulia).
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwongozo, Dar es Salaam, Bw. James Ngoitanile (wa nne kushoto), akifurahia kwa kuonesha mkasi juu baada ya kukata utepe kuzindua rasmi kisima cha maji safi, kilichojengwa kwa hisani ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), katika Zahanati ya Makuburi, Manispaa ya Kinondoni mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mganga Mkuu wa Zahanati hiyo, Dkt. Stella Kivugo na Meneja Mauzo wa TBL Kinondoni, Bw. Joseph Nicholaus (wa pili kulia).
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwongozo, Bw. James Ngoitanile, akimtwisha ndoo ya maji Mjumbe wa Shina, Bi. Zubeda Samata, baada ya kuzindua bomba la maji safi lilijengwa kwa Hisani ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), katika Zahanati ya Makuburi, Dar es Saaam.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwongozo, Bw. James Ngoitanile, akimtwisha ndoo ya maji Mjumbe wa Shina, Bi. Zubeda Samata, baada ya kuzindua bomba la maji safi lilijengwa kwa Hisani ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), katika Zahanati ya Makuburi, Dar es Saaam.
No comments:
Post a Comment