Thursday, October 30, 2014

Delloite Touche wawapiga msasa Mameneja na Wakurugenzi wa NHC juu ya mapitio ya Mpango Mkakati wa Shirika

Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Bw Felix Maagi ambaye pia alikuwa akimwakilisha Mkurugenzi Mkuu akizungumza wakati wa ufunguzi wa Semina kwa Mameneja na Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa iliyotolewa na Wataalamu Washauri wa Delloite Touche juu ya mapitio ya Mpango Mkakati wa Shirika unaomalizika mwakani, ili kuuboresha kwa kipindi kijacho
 Washiriki wa Semina hiyo Omari Makalamangi (wa kwanza kulia), Humphrey Kishimbo (anayefuata), Michael Chilongani, Veneranda Seif na Subira Gugadi aliyeshika tama wakifuatilia kwa kina somo lililokuwa likitolewa na Wataalamu Washauri wa Delloite Touche juu ya mapitio ya Mpango Mkakati wa Shirika unaomalizika mwakani, ili kuuboresha kwa kipindi kijacho

 Washiriki wa Semina hiyo Adolph Kasegenya (wa kwanza Kushoto),  Michael Chilongani, wakifuatilia kwa kina somo lililokuwa likitolewa na Wataalamu Washauri wa Delloite Touche juu ya mapitio ya Mpango Mkakati wa Shirika unaomalizika mwakani, ili kuuboresha kwa kipindi kijacho
 Mkurugenzi wa Fedha wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Bw Felix Maagi na Adolph Kasegenya (wa kwanza Kushoto) na Omari makalamangi wakifuatilia kwa kina somo lililokuwa likitolewa na Wataalamu Washauri wa Delloite Touche juu ya mapitio ya Mpango Mkakati wa Shirika unaomalizika mwakani, ili kuuboresha kwa kipindi kijacho
 Richard Ndeona, Commercial Manager kushoto sambamba na Meneja wa Shirika la Nyumba Mkoa wa Tanga, Nyuma yao ni Ramadhani Macha Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Shinyanga wakifuatilia kwa kina somo lililokuwa likitolewa na Wataalamu Washauri wa Delloite Touche.
Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Fatma Chillo (Kulia), Mkurugenzi wa Uendeshaji na Utawala wa Mikoa wa Shirika la Nyumba la Taifa, Raymond Mndolwa, Meneja wa Huduma kwa Jamii, Muungano Saguya na Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Dodoma, Itandula Gambalagi wakifuatilia kwa kina somo lililokuwa likitolewa na Wataalamu Washauri wa Delloite Touche juu ya mapitio ya Mpango Mkakati wa Shirika unaomalizika mwakani, ili kuuboresha kwa kipindi kijacho.

Veronica Mtemi Msaidizi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa akibadilishana mawazo na Meneja Miradi Samuel Metili huku Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mtwara, Joseph John , Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki, Benedict Kilimba na Meneja wa Huduma za Sheria wa Shirika la Nyumba la Taifa, Elias Mwashiuya wakishuhudia wakitoka ndani ya ukumbi wa mkutano.
 Maandalizi ya kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa yakiwa yanaendelea, pichani linaonekana bango linaloelekeza Baraza hilo ambalo litafanyika kwa siku mbili kuanzia tarehe Mosi hadi 2 Novemba kwenye Hoteli ya Tanga Beach Resort.
 Washiriki wakiendelea na semina
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Wataalamu Washauri wa Delloite Touche akizungumza wakati wa ufunguzi wa Semina kwa Mameneja na Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa iliyotolewa na Wataalamu Washauri wa Delloite Touche juu ya mapitio ya Mpango Mkakati wa Shirika unaomalizika mwakani, ili kuuboresha kwa kipindi kijacho
 Msanifu wa Miradi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Daniel Mziray (wa kwanza kulia), Msanifu Mkuu wa Majengo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Daudi Kondoro, Meneja wa NHC mkoa wa Katavi, Nehemia Msigwa, Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mtwara, Joseph John, Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Tabora, Erasto Chilambo, Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Arusha, James Kisarika, Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mbeya , Anthony Komba wakifuatilia kwa kina somo lililokuwa likitolewa na Wataalamu Washauri wa Delloite Touche.
Julius Ntoga wa Shirika la Nyumba la Taifa, Meneja wa NHC Ilala, Jackson Maagi wakifuatilia kwa kina somo lililokuwa likitolewa na Wataalamu Washauri wa Delloite Touche.

No comments: