Friday, October 24, 2014

TANZANIA NA CUBA KUENDELEA KUSHIRIKIANA KATIKA SEKTA YA HABARI

unnamed1Balozi  wa  Cuba  nchini Mh.  Lopez  Toronto  akiongea na Mkurugenzi  wa  Idara  ya  Habari Bw.  Assah  Mwambene  wakati   Balozi  huyo alipomtembelea  Bw. Mwambene Ofisini  kwake  leo  (jana),  katika mazungumzo  yao walijadiliana   kuhusu  maendeleo  ya  Tasnia ya Habari  baina  ya nchi  hizo  mbili.(Picha na Benjamin Sawe)

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...