Kaimu Mkutugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya COMSOFT Mr.Manfred Schmid (kulia)wakiwa miongoni mwa washiriki wa semina ya wahandisi na wataalamu wa uendeshaji wa mamlaka ya usafiri wa Anga barani Afrika iliyofanyika jana katika hoteli ya Serena,jijini Dar es Salaam, Semina hiyo imeandaliwa na kampuni ya Comsoft ya Ujerumani ambao ni wataalamu wa mitambo inayotumika kwa ajili ya usalama ndege wakati ikiwa anga husika.Baadhi ya Wahandisi na wataalamu wa masuala ya usafiri wa anga kutoka barani Afrika wakimsikilza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya COMSOFT Mr. Manfred Schmid (kushoto) wakati wa semina ya usimamizi wa mitambo ya ADS-B ambayo inatumika kwa ajilia ya usalama wa ndege ikiwa kwenye anga husika. iliyofanyika katika hoteli ya Serena jana jijini Dar es SalaamBaadhi ya Wahandisi na wataalamu wa masuala ya usafiri wa anga kutoka barani Afrika wakimsikilza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya COMSOFT Mr.Manfred Schmid (kushoto) wakati wa semina ya usimamizi wa mitambo ya ADS-B ambayo inatumika kwa ajilia ya usalama wa ndege ikiwa kwenye anga husika. iliyofanyika katika hoteli ya serene leo jijini Dar es Salaam.Kaimu Mkutugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya COMSOFT Mr.Manfred Schmid (kulia)wakiwa miongoni mwa washiriki wa semina ya wahandisi na wataalamu wa uendeshaji wa mamlaka ya usafiri wa Anga barani Afrika iliyofanyika jana katika hoteli ya Serena,jijini Dar es Salaam,Semina hiyo imeandaliwa na kampuni ya Comsoft ya Ujerumani ambao ni wataalamu wa mitambo inayotumika kwa ajili ya usalama ndege wakati ikiwa anga husika.Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya COMSOFT Mr.Manfred Schmid na Mkurugenzi wa Mradi wa Comsoft Dr.Gunther Hellstrn ( kulia ) wakimsikilza kwa makini mtaaramu wa kuongoza ndege kutoka Uganda (UGATCA) Magret Kagendo wakati alipokuwa akiuliza swali wakati wa semina iliyowashirikisha wahandisi na wataalamu wa Mamlaka ya usafiri wa Anga barani Afrika iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment