Tuesday, October 28, 2014

PINDA AWASILI MUSCAT OMAN KWA ZIARA YA KIKAZI

unnamedWaziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Oman, Mheshimiwa Sayyid Fahad Mahmoud Al Said  baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa  wa Kimataifa wa Muscat wa  Royal Airport  kwa ziara ya siku mbili ya kikazi nchini humo Oktoba 27, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Rais Museveni Afanya Ziara ya Kikazi Tanzania, Aimarisha Ushirikiano wa Kidiplomasia na Kiuchumi na Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi ya siku moja, ziara inayodh...