Tuesday, October 28, 2014

PINDA AWASILI MUSCAT OMAN KWA ZIARA YA KIKAZI

unnamedWaziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Oman, Mheshimiwa Sayyid Fahad Mahmoud Al Said  baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa  wa Kimataifa wa Muscat wa  Royal Airport  kwa ziara ya siku mbili ya kikazi nchini humo Oktoba 27, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...