



wakisiliza kwa makini Taarifa ya Utekelezaji wa agizo la kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi,maliasili na
Mazingira ya udhibiti matumizi ya mifuko ya plastiki iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais-Mazingira Dk Binilith Mahenge kwenye ukumbi wa Benki kuu leo jijini Dar es Salaam.(Picha na OMR)

Mifuko ya plastiki kwa Kamati hiyo. Kulia kwake ni Mh. Naibu Waziri Ummy Mwalimu akiwa na Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo Abdulkarim Esmail Shah pamoja na katibu wa Kamati Gerald Magili leo Jijini Dar es Salaam(Picha na OMR)
No comments:
Post a Comment