Bondia Said Mbelwa kushoto akioneshana umwamba na George Dimoso wakati wa mpambano wao uliofanyika jumamosi iliyopita ambapo Mbelwa alishinda kwa pointi Picha na SUPER D BLOG
Mashabiki wa mchezo wa masumbwi wakifatilia kwa makini mchezo huo
Bondia Said Mbelwa akinyanyuliwa mkono juu kuashilia ushindi wa mpambano huo |
Bondia Aman Bariko ‘Manny Chuga’ akioneshana umwamba na Ally Bugingo wakati wa mpambano wao Bariki alishinda kwa pointi picha na SUPER D BLOG
Bondia Zamoyoni Mbishi kushoto akipambana na Sadiq Nuru wakati wa mpambano wao uliofanyika jumamosi Mbishi alishinda kwa pointi picha na SUPER D BLOG
Bondia Hassan Mandula kulia akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Mohamed Jaka Mandula alishinda kwa TKO ya raundi ya pili picha na SUPER D BLOG
No comments:
Post a Comment