Tuesday, July 02, 2013

Rais Barack Obama Wa Marekani Alivyolakiwa Kwa Shangwe IKULU Jijini Dar es Salaam


 Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle Obama akipokewa kwa Shangwe Ikulu, Dar es salaam na baadaye akaongea na wanahabari.
 Rais Kikwete akiwa ameambatana na mgeni wake,Rais wa Marekani,Barack Obama,wakati wakielekea kuzungumza na wanahabari Ikulu,jioni ya leo.
 Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle Obama akipokewa kwa Shangwe Ikulu, Dar es salaam na baadaye akaongea na wanahabari.
Raisi Barack Obama wa Marekani na Raisi Kikwete wa Tanzania wakijibu baadhi ya Maswali kutoka Kwa waandishi wa habari waliohudhuria mkutano uliofanywa na Raisi Obama na Kikwete Mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar leo Mchana.Picha na Issa Michuzi-IKULU

1 comment:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...