Tuesday, July 16, 2013

Rais Jakaya Kikwete Akutana na Uongozi wa Benki ya Maendeleo ya TIB

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa Afisa Mtendaji 
Mkuu wa benki ya Maendeleo ya TIB, Bw Peter Noni, Ikulu jijini 
Dar es salaam Julai 13, 2013. Bw. Noni na ujumbe wake walifika Ikulu 
kumwelezea Rais Kikwete mipango na mikakati kabambe ya kuijenga 
upya benki hiyo iliyokuwa ikijulikana kama Tanzania Investment Bank 
(Benki ya Rasilimali Tanzania) ikiwa ni pamoja na miundo mbinu na
 upanuzi wa wigo wa biashara.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Afisa Mtendaji 
Mkuu wa benki ya Maendeleo ya TIB, Bw Peter Noni, Ikulu jijini 
Dar es salaam  Julai 13, 2013. Bw. Noni na ujumbe wake walifika
 Ikulu kumwelezea Rais Kikwete mipango na mikakati kabambe
 ya kuijenga upya benki hiyo iliyokuwa ikijulikana kama Tanzania 
Investment Bank (Benki ya Rasilimali Tanzania) ikiwa ni pamoja na 
miundo mbinu na upanuzi wa wigo wa biashara.Picha na IKULU

No comments: