Tuesday, July 02, 2013

Rais Barack Obama Wa Marekani Alivyolakiwa Kwa Shangwe IKULU Jijini Dar es Salaam


 Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle Obama akipokewa kwa Shangwe Ikulu, Dar es salaam na baadaye akaongea na wanahabari.
 Rais Kikwete akiwa ameambatana na mgeni wake,Rais wa Marekani,Barack Obama,wakati wakielekea kuzungumza na wanahabari Ikulu,jioni ya leo.
 Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle Obama akipokewa kwa Shangwe Ikulu, Dar es salaam na baadaye akaongea na wanahabari.
Raisi Barack Obama wa Marekani na Raisi Kikwete wa Tanzania wakijibu baadhi ya Maswali kutoka Kwa waandishi wa habari waliohudhuria mkutano uliofanywa na Raisi Obama na Kikwete Mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar leo Mchana.Picha na Issa Michuzi-IKULU

1 comment:

Makamu wa Rais Aongoza Salamu za Rambirambi kwa Kifo cha Jenista Mhagama, Ataja Taifa Kupata Pengo Kubwa

  #RIPJenistaMhagama #Tanzania #Ruvuma #Uongozi Dodoma – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nch...