Monday, July 29, 2013

MBONI MASIMBA AFUTURISHA

Rais Mstaafu wa awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akizungumza baada ya futari.
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (CCM), Dk Asha-Rose Migiro (kushoto) naye alikuwa miongoni mwa waalikwa.
Mtangazaji wa kipindi cha The Mboni Show, Mboni Masimba akizungumza jambo.
MTANGAZAJI wa kipindi cha Mboni Show kinachorushwa kupitia televisheni ya East Afrika, Mboni Masimba jana alifuturisha wageni mbalimbali na viongozi akiwepo Rais Mstaafu  wa Awamu ya Pili, Mhe Ali Hassan Mwinyi na Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (CCM) ambaye pia alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Matifa, Dk. Asha - Rose Migiro, katika ukumbi wa Karimjee uliopo Posta jijni Dar es Salaam.


(PICHA: IMELDA MTEMA, MUSA MATEJA NA IMELDA TARIMO)

No comments: