Friday, July 05, 2013

RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AWASILI WASHINGTON, DC TAYARI KWA TAMASHA LA UTAMADUNI WA KISWAHILI NA SHEREHE YA MIAKA 3 YA VIJIMAMBO


 Mhe. Rais Mustaafu Ali Hassani Mwinyi akishuka kwenye gari akitokea uwanja wa ndege wa kimataifa Dulles Sterling, Virginia Mhe. Mwinyi amekuja kwa ajili ya Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili na sherehe ya miaka 3 ya Blog ya Vijimambo litakalofanyika Jumamosi July 6, 2013.
 Rais Mustaafu Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Afisa habari Mindi Kasiga wakati alipokua akiingia Hotelini.
 Rais Mustaafu Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Afisa Ubalozi Bwn. Mwafongo huku Kaimu Balozi Mama Lily munanka akiwatambulisha.
 Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV na mwanakamati wa kamati ya maandalizi ya miaka 3 ya Vijimambo na Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili Marekani
 Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Katibu wa kamati ya maandalizi, Asha Nyang'anyi.
 Juu na chini ni Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na watoto watakaompa maua.
 Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na katibu msaidizi Bwn. Julius Katanga, na Masanja Mkandamizaji akiwatayari kusalimiana na Mhe. Ali Hassan Mwinyi.
 Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana akisalimiana na Shilole.
 Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi akipokea maua toka kwa Munirah
 Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi pamoja na mkewe Sitti Mwinyi katika picha ya pamoja na Brian, na Munirah, watoto waliowapa maua.

Picha zingine baadae

No comments: