Tuesday, July 30, 2013

VODACOM ELIMU EXPO YAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM



 Naibu Waziri wa Elimu, Phillip Mulugo (katikati) Mkurugenzi 
Mkuu wa Elimu Expo, Joel Njama (kulia) na  Mkuu wa Idara ya 
Masoko na Mawasiliano wa Vodacom, Kelvin Twissa, wakigonganisha glasi, 
kama ishara ya uzinduzi wa maonyesho hayo, wakati wa mkutano 
na waandishi wa habari uliofanyika Hoteli ya Serena jijini 
Dar es Salaam, jana.
 Mkurugenzi Mkuu wa Elimu Expo, Joel Njama (kulia) akizungumza 
na waandishi wa habari wakati wa mkutano huo , Katikati ni   
Naibu Waziri wa Elimu, Phillip Mulugo, na Mkuu wa Idara ya Masoko 
na Mawasiliano wa Vodacom, Kelvin Twissa.
Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom, Kelvin
 Twissa, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa 
mkutano huo , Katikati ni   Naibu Waziri wa Elimu, 
Phillip Mulugo, na Mkurugenzi Mkuu 
wa Elimu Expo, Joel Njama.
 Sehemu ya waandishi wa habari, waliohudhuria mkutano huo.PICHA NA SUFIANIMAFOTO.

No comments: