Vijana wakiwa kazini kuendelea na ufyatuaji wa matofali eneo la Mvomero Mororgoro , (wa pili kulia mwenye shati la madoa madoa) ni Muungano Kasibi Saguya, Meneja Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa.
Vijana wakiwa kazini kuendelea na ufyatuaji wa matofali eneo la Mvomero Mororgoro ,kwa mbali (kulia) ni Veneranda Seif, Meneja Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Morogoro.
Meneja Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif, akizungumza na timu kutoka makao makuu iliyokuwa ikipita katika miradi kuangalia shughuli za ujenzi pamoja na ufyatuaji matofali zinazofanyika katika miradi mbalimbali ya gharama nafuu
Kwa mbali inaonekana misingi ya nyumba za gharama nafu za NHC Mvomero ambapo kushoto anaonekana Meneja Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif, akishuhudia mmoja wa vijana wa Veta waliopata mafunzo kutoka Afrika Kusini akifyatua matofali ya Hydroform.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA
Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment