Vijana wakiwa kazini kuendelea na ufyatuaji wa matofali eneo la Mvomero Mororgoro , (wa pili kulia mwenye shati la madoa madoa) ni Muungano Kasibi Saguya, Meneja Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa.
Vijana wakiwa kazini kuendelea na ufyatuaji wa matofali eneo la Mvomero Mororgoro ,kwa mbali (kulia) ni Veneranda Seif, Meneja Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Morogoro.
Meneja Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif, akizungumza na timu kutoka makao makuu iliyokuwa ikipita katika miradi kuangalia shughuli za ujenzi pamoja na ufyatuaji matofali zinazofanyika katika miradi mbalimbali ya gharama nafuu
Kwa mbali inaonekana misingi ya nyumba za gharama nafu za NHC Mvomero ambapo kushoto anaonekana Meneja Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif, akishuhudia mmoja wa vijana wa Veta waliopata mafunzo kutoka Afrika Kusini akifyatua matofali ya Hydroform.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment