Vijana wakiwa kazini kuendelea na ufyatuaji wa matofali eneo la Mvomero Mororgoro , (wa pili kulia mwenye shati la madoa madoa) ni Muungano Kasibi Saguya, Meneja Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa.
Vijana wakiwa kazini kuendelea na ufyatuaji wa matofali eneo la Mvomero Mororgoro ,kwa mbali (kulia) ni Veneranda Seif, Meneja Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Morogoro.
Meneja Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif, akizungumza na timu kutoka makao makuu iliyokuwa ikipita katika miradi kuangalia shughuli za ujenzi pamoja na ufyatuaji matofali zinazofanyika katika miradi mbalimbali ya gharama nafuu
Kwa mbali inaonekana misingi ya nyumba za gharama nafu za NHC Mvomero ambapo kushoto anaonekana Meneja Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Morogoro, Veneranda Seif, akishuhudia mmoja wa vijana wa Veta waliopata mafunzo kutoka Afrika Kusini akifyatua matofali ya Hydroform.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027
Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment