Tuesday, July 30, 2013

Rais Jakaya Kikwete Atawazwa Rasmi Kuwa Chief wa Missenyi (Omukama)


 Omukama Kikwete akihutubia wananchi Missenyi
  Rais Jakaya Kikwete baada ya kutawazwa kuwa Omukama (Chifu) wa Missenyi wakati wa ziara yake ya siku sita mkoani Kagera akiwa na  kiongozi wa wazee wa Missenyi, Mzee Ernest Babeiya.
 Rais Jakaya Kikwete akitawazwa kuwa Omukama (Chifu) wa Missenyi wakati wa ziara yake ya siku sita mkoani Kagera. Anayemsimika ni kiongozi wa wazee wa Missenyi, Mzee Ernest Babeiya.
 Rais Jakaya Kikwete akitawazwa kuwa Omukama  (Chifu) wa Missenyi wakati wa ziara yake ya siku sita mkoani Kagera.  Anayemsimika ni kiongozi wa wazee wa Missenyi, Mzee Ernest Babeiya.
Rais Jakaya  Mrisho Kikwete akihutubia maelefu ya wananchi wa mkoa wa Kagera  waliofurika katika uwanja wa michezo wa Kaitaba kumsikiliza siku ya  mwisho ya ziara yake ya siku sita mkoani humo.Picha na IKULU

1 comment:

Prince Buganzi said...

Uchifu sio lelemama tuache kuwadanganya viongozi wetu. taratibu ya Kua mfalme Buhaya sio rahisi namna hiyo.
akabndwa owa Kuba Omukama omuliBuziba. Yaani tukose Omukama aje mkwere awe Omukama??
Ok shughuli za Huyu Omukama nizipi katika Obuziba?? Omukama huwa ni mmoja ebikaale kiba kimo kwahiyo ebikaale ekya Kikwete kibankai??