Thursday, July 25, 2013

MAMA SALMA KIKWETE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MKE WA TONNY BLAIR MAMA CHERRIE BLAIR NA AFUTURISHA VIONGOZI NA WANAKIJIJI CHA HOYOYO


Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo
,WAMA, Mama Salma Kikwete akifanya mazungumzo na Mama 
Cherrie Blair, Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza walipokutana
 kwenye ofisi za WAMA tarehe 23.7.2013 Mama Blair yupo nchini 
akifuatana na mumewe Tonny Blair katika ziara ya kikazi.
















Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na mgeni wake Mama
 Cherrie
 Blair wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa 
Taasisi ya 
Wanawake na Maendeleo, WAMA, mara baada ya kufanya 
mazungumzo yao. 


















Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa nasaha zake baada 
kuwafuturisha viongozi wa serikali, madhehebu ya dini wa wilaya ya
 Mkuranga na wananchi wa kijiji cha Hoyoyo kilichoko karibu na Mkuranga 
katika Mkoa wa Pwani tarehe 23.7.2013. 

















 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa nasaha zake baada 
kuwafuturishaviongozi wa serikali, madhehebu ya dini wa wilaya
 ya Mkuranga na wananchi wa kijiji cha Hoyoyo kilichoko karibu
 na Mkuranga katika Mkoa wa Pwani tarehe 23.7.2013. 


















Sehemu ya  viongozi wa serikali, madhehebu ya dini wa wilaya ya 
Mkuranga na wananchi wa kijiji cha Hoyoyo kilichoko karibu na 
Mkuranga katika Mkoa wa Pwani wakimsikiliza mke wa Rais Mama 
Salma Kikwete(Hayupo Pichani)tarehe 23.7.2013. 

No comments: