Tuesday, July 30, 2013

AIRTEL TANZANIA YALA FUTARI NA WATEJA WAKE DAR ES SALAAM MWISHONI MWA WIKI‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso 
(wa pili kushoto) akiwakaribisha baadhi  ya wateja wao
 katika hafla ya futari iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini
 Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano
 wa Airtel, Beatrice Singano Mallya.
Baadhi ya wateja wa kampuni ya simu za mkononi ya 
Airtel Tanzania wakichukua mlo wa futari iliyoandaliwa
 na kampuni hiyo jijini Dar es Salaamu juzi.
Wateja wa Airtel Tanzania wakichukua mlo wa futari 
iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar se Salaam juzi.
Mhariri Mtendaji Mkuu wa Mwananchi Communications, 
Bakari Machumu (wa pili kulia) na Mkurugenzi Mtendaji 
wa Airtel Tanzania, Sunil  Kolaso (kulia kwake) 
wakichukua mlo wa futari iliyoandaliwa na Airtel kwa 
wateja wake jijini Dar es Salaam juzi.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Azam, Said Salim Bakhresa
 (wa pili kushoto),  akichukua mlo wa futari pamoja na
 baadhi ya wateja wa Airtel katika hafla iliyoandaliwa
 na kampuni hiyo kwa wateja wake jijini Dar es Salaam juzi.
Baadhi ya wateja wa kampuni ya simu za mkononi ya 
Airtel Tanzania wakifuturu katika hafla iiliyoandaliwa 
na kampuni hiyo jijini Dar es Salaamu juzi.

3 comments:

Anonymous said...

Tupo pamoja mkuu, haya makumpuni yaendege hata huko kijijini, yakafuturishe huko

emu-three said...

Tupo pamoja mkuu, haya makumpuni yaendege hata huko kijijini, yakafuturishe huko

emu-three said...

Tupo pamoja mkuu, haya makumpuni yaendege hata huko kijijini, yakafuturishe huko

WAZIRI NA NAIBU WAZIRI WA ARDHI WASHIRIKI KIKAO CHA KWANZA CHA MKUTANO WA 19 WA BUNGE LA 12 KWA AJILI YA KUJADILI BAJETI YA SERIKALI 2025/2026

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi (MB), leo tarehe 8 Aprili 2025, ameshiriki kikao cha kwanza cha Mku...