Nyumba hizo za NHC Kibada, Kigamboni zijulikanazo kwa jina lake la Mradi kama Kigamboni Housing Estate zitakavyoonekana baada ya kumalizika.
Picha ya mchoro wa kompyuta inayoonyesha namna ambavyo mji au eneo la nyumba za gharama nafuu NHC kibada Kigamboni utakavyoonekana mara baada ya kumalizika hivi karibuni.
Mwonekano wa sasa wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa eneo la Kibada Kigamboni jijini Dar es Salaam nyumba hizi ziko zaidi ya 200.
Mwonekano wa sasa wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa eneo la Kibada Kigamboni jijini Dar es Salaam nyumba hizi ziko zaidi ya 200.
Sehemu ya nyuma ya nyumba hizo za gharama nafuu inavyoonekana kabla ujenzi haujakamilika.
Sehemu ya nyumba za gharaha nafuu za Kibada zilizojengwa kwa matofali ya kawaida ikiwa ni aina tofauti na ile ya nyumba zilizojengwa kwa matofali yanayotumia udongo na kuchanganywa na sementi kidogo na hivyo kupunguza gharama za ujenzi.
Mwonekano wa sasa wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa eneo la Kibada Kigamboni jijini Dar es Salaam nyumba hizi ziko zaidi ya 200.
Nyumba hii ni mojawappo ya nyumba za gharama nafuu zinazojengwa katika eneo la Kibada ikiwa imeshakamilika inatumika kama model house.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI
Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment