Monday, March 01, 2010

Balaa la mvua Kibaha



Wakazi wa Kibaha kwa mathias wakiokota bati kumpa fundi kwa ajili ya kuezeka nyumba zao ambazo ziliezuliwa kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali. Picha na Sanjito Msafiri.

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...