Monday, March 01, 2010

Balaa la mvua Kibaha



Wakazi wa Kibaha kwa mathias wakiokota bati kumpa fundi kwa ajili ya kuezeka nyumba zao ambazo ziliezuliwa kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali. Picha na Sanjito Msafiri.

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...