Monday, March 01, 2010

Balaa la mvua Kibaha



Wakazi wa Kibaha kwa mathias wakiokota bati kumpa fundi kwa ajili ya kuezeka nyumba zao ambazo ziliezuliwa kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali. Picha na Sanjito Msafiri.

No comments:

Rais Samia Aelekea Angola, Akutana na Mama Maria Nyerere Kabla ya Safari ya Kihistoria

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , amefanya mazungumzo na Mama Maria Nyerere muda mfupi kabla ya kuan...