Monday, March 01, 2010

Balaa la mvua Kibaha



Wakazi wa Kibaha kwa mathias wakiokota bati kumpa fundi kwa ajili ya kuezeka nyumba zao ambazo ziliezuliwa kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali. Picha na Sanjito Msafiri.

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...