Tuesday, March 30, 2010

Kunani Baraza la wawakilishi jamani


MWAKILISHI WA JIMBO LA MAKUNDUCHI ZANZIBAR, HAROUN SULEIMAN ALI AKICHANGIA MSWADA KWENYE UKUMBI WA BARAZA LA WAWAKILISHI MJINI ZANZIBAR JANA.


MWAKILISHI WA JIMBO LA DIMANI, DK. MWINYIHAJI MAKAME MWADINI (KUSHOTO) AKIBADILISHANA MAWAZO NA MWAKILISHI WA KUTEULIWA (IKULU) ALI MZEE ALI NJE YA UKUMBI WA BARAZA LA WAWAKILISHI MJINI ZANZIBAR JANA.

No comments:

CHEREKO ZATAWALA BANDA LA REA KATIKA MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI GEITA

Furaha na shangwe (chereko) zimetawala katika Banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wakati wananchi walipofurika kununua majiko ya gesi ...