Tuesday, March 30, 2010

Kunani Baraza la wawakilishi jamani


MWAKILISHI WA JIMBO LA MAKUNDUCHI ZANZIBAR, HAROUN SULEIMAN ALI AKICHANGIA MSWADA KWENYE UKUMBI WA BARAZA LA WAWAKILISHI MJINI ZANZIBAR JANA.


MWAKILISHI WA JIMBO LA DIMANI, DK. MWINYIHAJI MAKAME MWADINI (KUSHOTO) AKIBADILISHANA MAWAZO NA MWAKILISHI WA KUTEULIWA (IKULU) ALI MZEE ALI NJE YA UKUMBI WA BARAZA LA WAWAKILISHI MJINI ZANZIBAR JANA.

No comments:

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AWAONGOZA MAWAKILI WA SERIKALI KATIKA MKUTANO MKUU WA MAWAKILI

Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mlezi wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania, Mhe. Hamza S. Johari amewaongoza Mawakili wa Serikali kush...