Sunday, March 28, 2010

CC yakutana leo


Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati kuu ya CCM ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Wengine katika picha ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Amani Abeid Karume, Katibu mkuu wa CCM Yusuf Makamba, Makamu wa CCM Bara Pius Msekwa, Rais Mstaafu awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi, Rais mstaafu awamu ya tatu Benjamin Mkapa na Waziri kiongozi wa SMZ Shamsi Vuai Nahodha. (photos by Freddy Maro).

No comments:

SAMSUNG IMEFUNGUA MADUKA MAWILI MAPYA YA BRAND STORE KUNDUCHI NA UBUNGO

  Dar es Salaam, Tanzania, 10 Februari 2025: Samsung Electronics East Africa imezindua rasmi maduka mawili mapya ya chapa ya Samsung katika ...