Tuesday, March 16, 2010

Waziri Mkuu wa Finland ziarani bongo


Pinda na Waziri Mkuu wa Finland, Matti Vanhanen wakitazama ngoma baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kuendelea na ziara yake nchini iliyoanzia Arusha, Jumapili iliyopita. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Waziri Mkuu wa Finland, Matti Vanhanen ambaye aliwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere leo kuendelea na ziara yake nchini iliyoanzia Arusha Jumapili iliyopita (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

KIKWETE ASEMA MFUKO WA UWEKEZAJI WA FAIDA WAKUA KWA KASI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wawekezaji wa Mfuko wa...