Tuesday, March 16, 2010

Waziri Mkuu wa Finland ziarani bongo


Pinda na Waziri Mkuu wa Finland, Matti Vanhanen wakitazama ngoma baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kuendelea na ziara yake nchini iliyoanzia Arusha, Jumapili iliyopita. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Waziri Mkuu wa Finland, Matti Vanhanen ambaye aliwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere leo kuendelea na ziara yake nchini iliyoanzia Arusha Jumapili iliyopita (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

CHEREKO ZATAWALA BANDA LA REA KATIKA MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI GEITA

Furaha na shangwe (chereko) zimetawala katika Banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wakati wananchi walipofurika kununua majiko ya gesi ...