Friday, March 12, 2010

Shule ya Sekondari Milambo


Hebu angalia picha hii vizuri kabisa kwa mbali unaweza kuona 'Mzee wa Mshitu' katika picha ya juu wa kwanza kushoto na katika picha inayofuata wa pili kushoto, nyuma ya jengo unaweza kuona Jengo la sekondari ya Milambo. Hapa ama kweli ndo yalikuwa maeneo mzee wa mshitu alipopatia elimu yake ya O level kabla ya kuendelea zaidi.

3 comments:

Mfalme Mrope said...

swaaadakta mzee Yatch.. hata hiyo bichkoma nimeiona pia. Salaam zako toka kwa Afande Chacha na Afande Peter...
Cheers frm USA...

ARAWAY Media Tanzania said...

hahahahah, nimecheka saana umenikumbusha msemo wa zamani mnooo, (bichkoma) aisee neno hili nilikuwa binafsi nimelisahau kabisa. Afande Chacha na Peter Majasho bwana sijui wako wapi wale watu skuli yetu bwana siku hizi imebadilika saana hakuna rikwata bwanaaa.

Anonymous said...

Yachi,hao jamaa mbona wanajichanganya?Hiyo ni picha ya Milambo,weka na ya kwetu Tabora Boys kwa afande Chacha,Peter Mkwala,Kenge,Sisalile,Maj Sendwa(sasa Lt Col).wako wapi kina Hamis Masoli,Lwaga Kizoka,Shabani Seleman na wengineo?
Kikapu umeacha siku hizi mzee?maana hata kwenye ma bonanza honekani

RAIS SAMIA AZINDUA TUME YA UCHUNGUZI KWA AJILI YA KUIMARISHA AMANI, HAKI NA UWAJIBIKAJI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Wajumbe wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusi...