Friday, March 12, 2010

Shule ya Sekondari Milambo



Hebu angalia picha hii vizuri kabisa kwa mbali unaweza kuona 'Mzee wa Mshitu' katika picha ya juu wa kwanza kushoto na katika picha inayofuata wa pili kushoto, nyuma ya jengo unaweza kuona Jengo la sekondari ya Milambo. Hapa ama kweli ndo yalikuwa maeneo mzee wa mshitu alipopatia elimu yake ya O level kabla ya kuendelea zaidi.

3 comments:

Mfalme Mrope said...

swaaadakta mzee Yatch.. hata hiyo bichkoma nimeiona pia. Salaam zako toka kwa Afande Chacha na Afande Peter...
Cheers frm USA...

mzee wa mshitu said...

hahahahah, nimecheka saana umenikumbusha msemo wa zamani mnooo, (bichkoma) aisee neno hili nilikuwa binafsi nimelisahau kabisa. Afande Chacha na Peter Majasho bwana sijui wako wapi wale watu skuli yetu bwana siku hizi imebadilika saana hakuna rikwata bwanaaa.

Anonymous said...

Yachi,hao jamaa mbona wanajichanganya?Hiyo ni picha ya Milambo,weka na ya kwetu Tabora Boys kwa afande Chacha,Peter Mkwala,Kenge,Sisalile,Maj Sendwa(sasa Lt Col).wako wapi kina Hamis Masoli,Lwaga Kizoka,Shabani Seleman na wengineo?
Kikapu umeacha siku hizi mzee?maana hata kwenye ma bonanza honekani