Friday, March 12, 2010
Shule ya Sekondari Milambo
Hebu angalia picha hii vizuri kabisa kwa mbali unaweza kuona 'Mzee wa Mshitu' katika picha ya juu wa kwanza kushoto na katika picha inayofuata wa pili kushoto, nyuma ya jengo unaweza kuona Jengo la sekondari ya Milambo. Hapa ama kweli ndo yalikuwa maeneo mzee wa mshitu alipopatia elimu yake ya O level kabla ya kuendelea zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...


3 comments:
swaaadakta mzee Yatch.. hata hiyo bichkoma nimeiona pia. Salaam zako toka kwa Afande Chacha na Afande Peter...
Cheers frm USA...
hahahahah, nimecheka saana umenikumbusha msemo wa zamani mnooo, (bichkoma) aisee neno hili nilikuwa binafsi nimelisahau kabisa. Afande Chacha na Peter Majasho bwana sijui wako wapi wale watu skuli yetu bwana siku hizi imebadilika saana hakuna rikwata bwanaaa.
Yachi,hao jamaa mbona wanajichanganya?Hiyo ni picha ya Milambo,weka na ya kwetu Tabora Boys kwa afande Chacha,Peter Mkwala,Kenge,Sisalile,Maj Sendwa(sasa Lt Col).wako wapi kina Hamis Masoli,Lwaga Kizoka,Shabani Seleman na wengineo?
Kikapu umeacha siku hizi mzee?maana hata kwenye ma bonanza honekani
Post a Comment