Thursday, March 04, 2010

Zantel Waja Na "Ofa Ya Simu Za Gumzo"


Mkuu wa Huduma na Bidhaa wa kampuni ya simu za mikononi ya Zantel Bw. Brian Karokola (kushoto) akitoa ufafanuzi wa Ofa mpya ya huduma ya simu za mkononi na mezani kwa gharama nafuu iitwayo “Ofa ya simu za Gumzo”, kwa lengo la kupunguza gharama za kupiga simu kwa wafanyabiashara wadogowadogo na matumizi ya nyumbani . Kulia ni Meneja masoko wa kampuni hiyo Bw. William Mpinga.

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...