Askari namba E. 7235 PC John Anthony Mwesongo wa kituo cha polisi cha Polisi Kiwa cha ndege cha Mwalimu Julius Nyerere ambaye ni mtunza vielelezo wa kituo hicho, akionyesha hundi ya T. Sh. 4,000,000 motisha baada ya kukataa rushwa ya dola za kimarekani 3,000 na watu waliokamatwa na madawa ya kulevya waliomtaka abadilishe vielelezo hivyo. Hundi hiyo alikabidhiwa na Inpekta Jenerali wa Polisi (IGP), Saidi Mwema Jana katika ukumbi wa maofisa wa polisi Oysterbay Jijini Dar es Salaam. (Picha Na Hassan Mndeme- Jeshi la Polisi)
Sunday, March 14, 2010
Askari aliyekataa rushwa
Askari namba E. 7235 PC John Anthony Mwesongo wa kituo cha polisi cha Polisi Kiwa cha ndege cha Mwalimu Julius Nyerere ambaye ni mtunza vielelezo wa kituo hicho, akionyesha hundi ya T. Sh. 4,000,000 motisha baada ya kukataa rushwa ya dola za kimarekani 3,000 na watu waliokamatwa na madawa ya kulevya waliomtaka abadilishe vielelezo hivyo. Hundi hiyo alikabidhiwa na Inpekta Jenerali wa Polisi (IGP), Saidi Mwema Jana katika ukumbi wa maofisa wa polisi Oysterbay Jijini Dar es Salaam. (Picha Na Hassan Mndeme- Jeshi la Polisi)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
USSI-WAFUGAJI WACHANGAMKIE FURSA YA SOKO MACHINJIO YA KISASA VIGWAZA
Mwamvua Mwinyi, Chalinze, April 10,2025 Wafugaji wa mifugo mbalimbali ,wametakiwa kuchangamkia fursa ya soko la ndani na nje ya nchi kupitia...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment