Sunday, March 28, 2010

Chadema wamzika Balozi Ngaiza


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa
aliyekuwa mmoja wa wadhamini wa chama hicho, marehemu Balozi Christopher Ngaiza, kbala ya mazishi yake yaliyofanyika
nyumbani kwake katika kijiji cha Mbale wilayani Muleba mkoani Kagera jana. (Picha na Joseph Senga)

Mbunge Lucy Kiwelu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), akitoa salama za mwisho kwa mwili wa marehemu Balozi Christopher Ngaiza, ambaye alikuwa mdhamini wa chama hicho, wakati wa mazishi yake yaliyofanyika nyumbani
kwake katika kijiji cha Mbale wilayani Muleba mkoani Kagera jana. (Picha na Joseph Senga)

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...