Sunday, March 28, 2010

Chadema wamzika Balozi Ngaiza


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa
aliyekuwa mmoja wa wadhamini wa chama hicho, marehemu Balozi Christopher Ngaiza, kbala ya mazishi yake yaliyofanyika
nyumbani kwake katika kijiji cha Mbale wilayani Muleba mkoani Kagera jana. (Picha na Joseph Senga)

Mbunge Lucy Kiwelu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), akitoa salama za mwisho kwa mwili wa marehemu Balozi Christopher Ngaiza, ambaye alikuwa mdhamini wa chama hicho, wakati wa mazishi yake yaliyofanyika nyumbani
kwake katika kijiji cha Mbale wilayani Muleba mkoani Kagera jana. (Picha na Joseph Senga)

No comments:

KUSANYENI KODI NA MADENI BILA KUOGOPA MTU YEYOTE– WAZIRI AKWILAPO ASEMA AKIZINDUA BODI MPYA YA NHC

  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Leonard Akwilapo, akimkabidhi Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),...