Sunday, March 28, 2010

Chadema wamzika Balozi Ngaiza


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa
aliyekuwa mmoja wa wadhamini wa chama hicho, marehemu Balozi Christopher Ngaiza, kbala ya mazishi yake yaliyofanyika
nyumbani kwake katika kijiji cha Mbale wilayani Muleba mkoani Kagera jana. (Picha na Joseph Senga)

Mbunge Lucy Kiwelu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), akitoa salama za mwisho kwa mwili wa marehemu Balozi Christopher Ngaiza, ambaye alikuwa mdhamini wa chama hicho, wakati wa mazishi yake yaliyofanyika nyumbani
kwake katika kijiji cha Mbale wilayani Muleba mkoani Kagera jana. (Picha na Joseph Senga)

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...