Thursday, March 04, 2010

RAIS KIKWETE AHAMA KITUO CHA KUPIGIA KURA, AJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA MSOGA


MSIMAMIZI wa uandikishwaji daftari la kudumu la wapigakura, Msoga Diana Frederick akiwapa vitambulisho vipya vya kupiga kura, Rais Kikwete na Mama Salma baada ya kujiandikisha kwenye daftari jana.

RAIS Jakaya Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapigakura kwenye kituo kipya cha kupiga kura kijijini kwake Msoga, Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani. Kushoto ni Msimamizi wa kituo hicho, Diana Frederick. Kituo cha zamani cha Rais Kikwete kilikuwa Bwilingi, Kata ya Chalinze, wilayani Bagamoyo. Picha na Bashiri Nkoromo.

No comments:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...