Sunday, March 28, 2010

Sir George enzi hizo


SIR George akiwa na Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Julius Kambarage Nyerere katika moja ya vikao vyao mara baada ya taifa kupata uhuru, kushoto kwa mwalimu ni Rashid Mfaume Kawawa aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa wakati huo na anayefuata ni Paul Bomani aliyekuwa Waziri katikaserikali ya awamu ya kwanza, wote watatu sasa ni Marehemu isipokuwa Sir George. Maktaba.

1 comment:

Anonymous said...

namuona mchonga akiwa na fegi mkononi.

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...