Meli ya MV Serengeti ikiungua moto ikiwa iko nje kidogo ya bandari ya Zanzibar, huku wafanyakazi wa shirika la bandari Zanzibar kwa kushirikiana na kikosi cha zimamoto na uokozi (KZU) wakiwa katika jitihada za kuuzima moto huo. Meli hiyo yenye namba za usajili IMO:6818796 ilikua katika matayarisho ya kwenda kisiwani Pemba usiku wa jana, hata hivyo chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika. Picha nyingine wananchi mbalimbali wakishuhudia meli ya MV Serengeti ikiungua moto nje kidogo ya bandari ya Zanzibar.
Sunday, March 14, 2010
Meli yaungua moto Zenji
Meli ya MV Serengeti ikiungua moto ikiwa iko nje kidogo ya bandari ya Zanzibar, huku wafanyakazi wa shirika la bandari Zanzibar kwa kushirikiana na kikosi cha zimamoto na uokozi (KZU) wakiwa katika jitihada za kuuzima moto huo. Meli hiyo yenye namba za usajili IMO:6818796 ilikua katika matayarisho ya kwenda kisiwani Pemba usiku wa jana, hata hivyo chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika. Picha nyingine wananchi mbalimbali wakishuhudia meli ya MV Serengeti ikiungua moto nje kidogo ya bandari ya Zanzibar.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment