Tuesday, March 09, 2010

Waziri MKuu Abuja


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na Alhaji Sheidu Bello Ozigis ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii na Utamaduni wa Nigeria ( Permanent Secretary for the Ministry of Tourisim, Culture and National Orientation) baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Abuja, March 8, 2010 kuhudhuria mkutano wa viongozi wakuu wa nchi kuhusu maendeleo ya Biashara na viwanda ya kilimo barani Afrika uatakaofanyika Abuja March 10, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...