Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na Alhaji Sheidu Bello Ozigis ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii na Utamaduni wa Nigeria ( Permanent Secretary for the Ministry of Tourisim, Culture and National Orientation) baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Abuja, March 8, 2010 kuhudhuria mkutano wa viongozi wakuu wa nchi kuhusu maendeleo ya Biashara na viwanda ya kilimo barani Afrika uatakaofanyika Abuja March 10, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Tuesday, March 09, 2010
Waziri MKuu Abuja
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na Alhaji Sheidu Bello Ozigis ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii na Utamaduni wa Nigeria ( Permanent Secretary for the Ministry of Tourisim, Culture and National Orientation) baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Abuja, March 8, 2010 kuhudhuria mkutano wa viongozi wakuu wa nchi kuhusu maendeleo ya Biashara na viwanda ya kilimo barani Afrika uatakaofanyika Abuja March 10, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA
📌 *Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS* 📌 *Awamu ya pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026.* *📌A...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment