Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na Alhaji Sheidu Bello Ozigis ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii na Utamaduni wa Nigeria ( Permanent Secretary for the Ministry of Tourisim, Culture and National Orientation) baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Abuja, March 8, 2010 kuhudhuria mkutano wa viongozi wakuu wa nchi kuhusu maendeleo ya Biashara na viwanda ya kilimo barani Afrika uatakaofanyika Abuja March 10, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Tuesday, March 09, 2010
Waziri MKuu Abuja
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na Alhaji Sheidu Bello Ozigis ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii na Utamaduni wa Nigeria ( Permanent Secretary for the Ministry of Tourisim, Culture and National Orientation) baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Abuja, March 8, 2010 kuhudhuria mkutano wa viongozi wakuu wa nchi kuhusu maendeleo ya Biashara na viwanda ya kilimo barani Afrika uatakaofanyika Abuja March 10, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment