Sunday, March 28, 2010

Chinga kila kona nchini


Si jambo la Kawaida kumuona mwanadada akifanya biashara ya kutembeza bidhaa za Nguo maarufu kama ‘Umachinga’, lakini mjini Dodoma utaweza kukutana nao kama alivyokutwa dada huyo na mpiga picha wetu mwishoni mwa wiki. Picha na Jube Tranquilino

No comments:

UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA

๐Ÿ“Œ *Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS*  ๐Ÿ“Œ *Awamu ya  pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026.*   *๐Ÿ“ŒA...