Sunday, March 28, 2010

Chinga kila kona nchini


Si jambo la Kawaida kumuona mwanadada akifanya biashara ya kutembeza bidhaa za Nguo maarufu kama ‘Umachinga’, lakini mjini Dodoma utaweza kukutana nao kama alivyokutwa dada huyo na mpiga picha wetu mwishoni mwa wiki. Picha na Jube Tranquilino

No comments:

RAIS DKT. MWINYI: TUWALEE VIJANA KATIKA MAADILI, TUDUMISHE AMANI KUELEKEA UCHAGUZI

Zanzibar, 11 Julai 2025 — Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito wa kitaifa kwa ...