Sunday, March 28, 2010

Chinga kila kona nchini


Si jambo la Kawaida kumuona mwanadada akifanya biashara ya kutembeza bidhaa za Nguo maarufu kama ‘Umachinga’, lakini mjini Dodoma utaweza kukutana nao kama alivyokutwa dada huyo na mpiga picha wetu mwishoni mwa wiki. Picha na Jube Tranquilino

No comments:

SAMSUNG IMEFUNGUA MADUKA MAWILI MAPYA YA BRAND STORE KUNDUCHI NA UBUNGO

  Dar es Salaam, Tanzania, 10 Februari 2025: Samsung Electronics East Africa imezindua rasmi maduka mawili mapya ya chapa ya Samsung katika ...