Wednesday, March 31, 2010

Mrisho Mpoto ndani ya Bakita



Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mrisho Mpoto, akitumbuiza katika uzinduzi wa Baraza la Kiswahili Taifa(BAKITA),uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam. Picha na Michael Matemanga.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...