Wednesday, March 31, 2010

Mrisho Mpoto ndani ya Bakita



Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mrisho Mpoto, akitumbuiza katika uzinduzi wa Baraza la Kiswahili Taifa(BAKITA),uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam. Picha na Michael Matemanga.

No comments:

UBUNIFU NA TEKNOLOJIA: MSINGI WA USIMAMIZI BORA WA MISITU NA NYUKI

  Na Mwandishi Wetu, Arusha Kamishna wa Uhifadhi kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof. Dos Santos Silayo, amewataka Maafis...