Wednesday, March 31, 2010

Mrisho Mpoto ndani ya Bakita



Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mrisho Mpoto, akitumbuiza katika uzinduzi wa Baraza la Kiswahili Taifa(BAKITA),uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam. Picha na Michael Matemanga.

No comments:

UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA

📌 *Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS*  📌 *Awamu ya  pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026.*   *📌A...