Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania Ephraim Mafuru(kushoto) Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd na kulia ni Mkurugenzi wa Mkuu wa Vodacom Foundation, Mwamvita Makamba wakizindua rasmi “habari ndiyo hii”kwa wateja wa mtandao wa Vodacom ambapo mtandao huo umeshusha gharama za maongezi kwa wateja wake kuongea kwa shilingi 1 kwa sekunde siku nzima kwa wateja wa Vodacom.
Wednesday, March 24, 2010
habari ndo hiyo
Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania Ephraim Mafuru(kushoto) Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd na kulia ni Mkurugenzi wa Mkuu wa Vodacom Foundation, Mwamvita Makamba wakizindua rasmi “habari ndiyo hii”kwa wateja wa mtandao wa Vodacom ambapo mtandao huo umeshusha gharama za maongezi kwa wateja wake kuongea kwa shilingi 1 kwa sekunde siku nzima kwa wateja wa Vodacom.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment