Wednesday, March 24, 2010

habari ndo hiyo

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya simu za Mkononi ya Vodacom Tanzania, Ephraim Mafuru (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wa HabariLeo na Daily News wakati Vodacom alipotembelea chumba cha habari cha magazeti hayo kutangaza rasmi pungozo la gharama za upigaji simu. Kushoto ni Mhariri Msaidizi wa Daily News, Gabby Mgaya na kulia ni Mkurugenzi wa Mahusiano wa Vodacom, Mwamvita Makamba.Punguzo hilo la gharama za upigaji siku linakwenda kwajina la HABARI NDIO HIYO.


Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania Ephraim Mafuru(kushoto) Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd na kulia ni Mkurugenzi wa Mkuu wa Vodacom Foundation, Mwamvita Makamba wakizindua rasmi “habari ndiyo hii”kwa wateja wa mtandao wa Vodacom ambapo mtandao huo umeshusha gharama za maongezi kwa wateja wake kuongea kwa shilingi 1 kwa sekunde siku nzima kwa wateja wa Vodacom.

No comments: