Sunday, March 07, 2010

Siku ya Wanawake ya Zain


Waziri wa nchi, ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia, (wa pili kulia)akijumuika na wafanyakazi wa Kampuni ya Zain Tanzania leo jijini Dar es Salaam wakati wa matembezi ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Matembezi hayo yalidhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...