Sunday, March 07, 2010

Siku ya Wanawake ya Zain


Waziri wa nchi, ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia, (wa pili kulia)akijumuika na wafanyakazi wa Kampuni ya Zain Tanzania leo jijini Dar es Salaam wakati wa matembezi ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Matembezi hayo yalidhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania.

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...