Wednesday, March 24, 2010

Operesheni Sangara





Wakazi wa Kibaigwa Wilayani Kongwa mkoani Dodoma wakimlaki Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe kabla ya kuhutubia mkutano wa juzi, ikiwa ni sehemu ya ‘Operesheni Sangara’ inayoendelea mkoani humo. Picha na Jube Tranquilino.

No comments:

SAMSUNG IMEFUNGUA MADUKA MAWILI MAPYA YA BRAND STORE KUNDUCHI NA UBUNGO

  Dar es Salaam, Tanzania, 10 Februari 2025: Samsung Electronics East Africa imezindua rasmi maduka mawili mapya ya chapa ya Samsung katika ...