Monday, March 22, 2010

Chadema wafanya kufuru Dom


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Kagera, Wilfred Rwakatare, akihutubia katika mkutano wa Oparesheni Sangara, katika Uwanja wa Sabasaba mjini Kondoa mkaoni Dodoma juzi. (Mpiga Picha Wetu)

009441;
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, akihutubia katika mkutano wa Oporesheni Sangara katika Uwanja wa Sabasaba mjini Kondoa juzi. (Na Mpiga Picha Wetu)

1 comment:

Anonymous said...

mbona inaonekana kama wanao wahutubia wengi wao ni watoto?

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...