Monday, March 22, 2010

Chadema wafanya kufuru Dom


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Kagera, Wilfred Rwakatare, akihutubia katika mkutano wa Oparesheni Sangara, katika Uwanja wa Sabasaba mjini Kondoa mkaoni Dodoma juzi. (Mpiga Picha Wetu)

009441;
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, akihutubia katika mkutano wa Oporesheni Sangara katika Uwanja wa Sabasaba mjini Kondoa juzi. (Na Mpiga Picha Wetu)

1 comment:

Anonymous said...

mbona inaonekana kama wanao wahutubia wengi wao ni watoto?

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...