Monday, March 22, 2010

Chadema wafanya kufuru Dom


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Kagera, Wilfred Rwakatare, akihutubia katika mkutano wa Oparesheni Sangara, katika Uwanja wa Sabasaba mjini Kondoa mkaoni Dodoma juzi. (Mpiga Picha Wetu)

009441;
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, akihutubia katika mkutano wa Oporesheni Sangara katika Uwanja wa Sabasaba mjini Kondoa juzi. (Na Mpiga Picha Wetu)

1 comment:

Anonymous said...

mbona inaonekana kama wanao wahutubia wengi wao ni watoto?

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...