Monday, March 01, 2010

Abiria 49 wanusurika ajali ya ndege


Ndege ya ATCL imetua Mwanza asubuhi ikiwa na abiria 49, matairi ya nyuma yalitoka na kutua salama, lakini tairi la mbele lilipuka, Bahati nzuri mvua kubwa ilikuwa inanyesha, kwa hiyo ikawa ndio fire brigade, Milango iligoma kufunga kwa muda mrefu na gari la zima moto likaja baada ya dakika 20. Habari zaidi tunasubiri.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...