Monday, March 01, 2010

Abiria 49 wanusurika ajali ya ndege


Ndege ya ATCL imetua Mwanza asubuhi ikiwa na abiria 49, matairi ya nyuma yalitoka na kutua salama, lakini tairi la mbele lilipuka, Bahati nzuri mvua kubwa ilikuwa inanyesha, kwa hiyo ikawa ndio fire brigade, Milango iligoma kufunga kwa muda mrefu na gari la zima moto likaja baada ya dakika 20. Habari zaidi tunasubiri.

No comments:

SAMSUNG IMEFUNGUA MADUKA MAWILI MAPYA YA BRAND STORE KUNDUCHI NA UBUNGO

  Dar es Salaam, Tanzania, 10 Februari 2025: Samsung Electronics East Africa imezindua rasmi maduka mawili mapya ya chapa ya Samsung katika ...