Monday, March 01, 2010

Abiria 49 wanusurika ajali ya ndege


Ndege ya ATCL imetua Mwanza asubuhi ikiwa na abiria 49, matairi ya nyuma yalitoka na kutua salama, lakini tairi la mbele lilipuka, Bahati nzuri mvua kubwa ilikuwa inanyesha, kwa hiyo ikawa ndio fire brigade, Milango iligoma kufunga kwa muda mrefu na gari la zima moto likaja baada ya dakika 20. Habari zaidi tunasubiri.

No comments:

KUSANYENI KODI NA MADENI BILA KUOGOPA MTU YEYOTE– WAZIRI AKWILAPO ASEMA AKIZINDUA BODI MPYA YA NHC

  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Leonard Akwilapo, akimkabidhi Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),...