Friday, March 05, 2010

Uzinduzi mahakama ya Rufani





Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Jaji Mkuu wa Tanzania Augustine Ramadhan pamoja na familia za majaji kabla ya kuzidua jengo la kumbukumbu ya Jaji Mkuu wa Kwanza Mzalendo, Hayati Augustine Said kwenye mahakama ya Rufani jijini Dar es salaam . Kwenye picha yupo pia mke wa Jaji Saidi Bi Helena, jengo lenyewe waoza kuliona pia waweza kuona sanamu la jaji Saidi lililowekwa kama kumbukumbu yake. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: