Friday, March 05, 2010

Uzinduzi mahakama ya Rufani





Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Jaji Mkuu wa Tanzania Augustine Ramadhan pamoja na familia za majaji kabla ya kuzidua jengo la kumbukumbu ya Jaji Mkuu wa Kwanza Mzalendo, Hayati Augustine Said kwenye mahakama ya Rufani jijini Dar es salaam . Kwenye picha yupo pia mke wa Jaji Saidi Bi Helena, jengo lenyewe waoza kuliona pia waweza kuona sanamu la jaji Saidi lililowekwa kama kumbukumbu yake. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...