Wednesday, March 24, 2010

Usafiri Dar es Salaam



Unaweza kufikiri kuwa tatizo la usafiri katika nchi yetu limepungua lakini halitaisha leo wala kesho hebu angalia hapa jiutihada zinazofanyika zimewezesha angalau watu wenye magari makubwa kama hivi kupunguza msongamano wa abiria lakini bado inatakiwa kuanzisha mabasi ambayo yatakuwa na jukumu la kuwabeba abiria wakati wa kwenda kazini na kurudi ili kupunguza msongamano wa vijiggari vingi barabarani.

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...