Wednesday, March 24, 2010

Usafiri Dar es Salaam



Unaweza kufikiri kuwa tatizo la usafiri katika nchi yetu limepungua lakini halitaisha leo wala kesho hebu angalia hapa jiutihada zinazofanyika zimewezesha angalau watu wenye magari makubwa kama hivi kupunguza msongamano wa abiria lakini bado inatakiwa kuanzisha mabasi ambayo yatakuwa na jukumu la kuwabeba abiria wakati wa kwenda kazini na kurudi ili kupunguza msongamano wa vijiggari vingi barabarani.

No comments:

UBUNIFU NA TEKNOLOJIA: MSINGI WA USIMAMIZI BORA WA MISITU NA NYUKI

  Na Mwandishi Wetu, Arusha Kamishna wa Uhifadhi kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof. Dos Santos Silayo, amewataka Maafis...