Sunday, January 24, 2010

kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanziar leo


Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Zanzibar Mhe.Amani Abeid Karume na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein wakipiti makabrasha ya ajenda mbalimbali, kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar katika Ukumbi wa CCM Kisiwandui mjini Zanzibar leo.



Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa Amani Abeid Karume, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamaed Shein katikati, Rais Mstaafu Mzee Ali Hassani Mwinyi kulia, Waziri Kiongozi Shamsi Vuai Nahodha kushoto na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Saleh Ramadhani Feruzi wa pili kushoto wakikiingia katika ukumbi wa mkutano kwa ajili ya kuanza kikao cha kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanziar leo.

Amour Nassor (VPO)

No comments: