Friday, January 08, 2010

Lugha bwana usipime


Hapo vipi jamani waweza kusoma ukaelewa, hivi huyo aliyebandika bango alikuwa na maana gani maana ukisoma katikati ya mistari utagundua tatizo na hili ndo tatizo letu kubwa watu ambao kiingereza siyo lugha yetu ya kwanza.

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...