Friday, January 08, 2010

Lugha bwana usipime


Hapo vipi jamani waweza kusoma ukaelewa, hivi huyo aliyebandika bango alikuwa na maana gani maana ukisoma katikati ya mistari utagundua tatizo na hili ndo tatizo letu kubwa watu ambao kiingereza siyo lugha yetu ya kwanza.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...