
Hapo vipi jamani waweza kusoma ukaelewa, hivi huyo aliyebandika bango alikuwa na maana gani maana ukisoma katikati ya mistari utagundua tatizo na hili ndo tatizo letu kubwa watu ambao kiingereza siyo lugha yetu ya kwanza.
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
No comments:
Post a Comment