Tuesday, January 19, 2010

msiba massachusetts wa mumewe Da'Chemi Chemponda



Wadau, nasikitika kutangaza kifo cha mume wangu, Reverend Douglas G. Whitlow, kilichotokea nyumbani hapa Cambridge, Massachusetts leo asubuhi (January 18, 2010).

Alikuwa na matatizo ya figo kwa muda mrefu.

Mipango ya mazishi ninafanya na nitawajulisha mara ikikamilika.

Kwa habari zaidi mnaweza kuwasiliana na mimi:

Chemi Che-Mponda Whitlow
617-497-4353 /617-497-4353

auEzekiel Concord Luhigo
781-632-3605
NB: Kwa atakaye piga toka nje ya Marekani tafadhali weka namba namba ya mwito ya nchi +1 mwanzoni mwa tarakimu hizo kumi zilizotolewa..
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...