Tuesday, January 19, 2010

msiba massachusetts wa mumewe Da'Chemi Chemponda



Wadau, nasikitika kutangaza kifo cha mume wangu, Reverend Douglas G. Whitlow, kilichotokea nyumbani hapa Cambridge, Massachusetts leo asubuhi (January 18, 2010).

Alikuwa na matatizo ya figo kwa muda mrefu.

Mipango ya mazishi ninafanya na nitawajulisha mara ikikamilika.

Kwa habari zaidi mnaweza kuwasiliana na mimi:

Chemi Che-Mponda Whitlow
617-497-4353 /617-497-4353

auEzekiel Concord Luhigo
781-632-3605
NB: Kwa atakaye piga toka nje ya Marekani tafadhali weka namba namba ya mwito ya nchi +1 mwanzoni mwa tarakimu hizo kumi zilizotolewa..
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN

No comments:

RAS ARUSHA ASISITIZA UTENDAJI KAZI UNAOZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Dk. Toba Alnason Nguvila, amewasistiza watumishi wa Umma kufanya kazi kwa kufuata Sheria, taratibu na kanun...