Monday, January 11, 2010
Fainali za Face of Africa kufanyika Nigeria
PIchani ni vimwana 12 waliofanikiwa kuingia kwenye hatua ya 12 bora ya shindano hilo ambalo fainali zake zinatarajiwa kufanyika mwezi Februari nchini Nigeria.
Vimwana kutoka Nigeria, Botswana, Zambia, Zimbabwe, Afrika Kusini, Angola, Ghana, Kenya, Msumbiji, Tanzania, Ethiopia walifanikiwa kuingia katika hatua hii, hata hivyo kumi tu ndio watakaopanda jukwaani kwenye fainali hizo.
Zambia inawakilishwa na Tholakele, Lilian (Tanzania), Tholakele (Afrika Kusini), Roseanna (Zimbabwe), Nardos ( Ethiopia), Marvis (Nigeria), Lukundo (Zambia), Esperanca (Angola), Ernania (Msumbiji), Diana (Kenya), Benedicta (Ghana) na Thambi (Zimbabwe)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment