Monday, January 11, 2010

Fainali za Face of Africa kufanyika Nigeria



PIchani ni vimwana 12 waliofanikiwa kuingia kwenye hatua ya 12 bora ya shindano hilo ambalo fainali zake zinatarajiwa kufanyika mwezi Februari nchini Nigeria.

Vimwana kutoka Nigeria, Botswana, Zambia, Zimbabwe, Afrika Kusini, Angola, Ghana, Kenya, Msumbiji, Tanzania, Ethiopia walifanikiwa kuingia katika hatua hii, hata hivyo kumi tu ndio watakaopanda jukwaani kwenye fainali hizo.

Zambia inawakilishwa na Tholakele, Lilian (Tanzania), Tholakele (Afrika Kusini), Roseanna (Zimbabwe), Nardos ( Ethiopia), Marvis (Nigeria), Lukundo (Zambia), Esperanca (Angola), Ernania (Msumbiji), Diana (Kenya), Benedicta (Ghana) na Thambi (Zimbabwe)

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...