Monday, January 11, 2010

Hali ya Mafuriko Kilosa


Viti na makabati vikiwa nje ya hema mojawapo katika kambi ya Kilosa Town, mjini Kilosa

Chaga za vitanda na mabo zake vikiwa chini ya mwembe vimelowana kwa mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia Jumamosi Jan. 9, 2010. Vifaa hivyo ni mali za wahanga wanaoishi kwenye kambi ya Kilosa Town, mjini Kilosa.

Gari la Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) lilipita kwenye Mashamba ya mkonge na mahindi yaliyofunikwa na maji kutokana na mafuriko yaliyotokea wiki iliyopita wilayani Kilosa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...