Monday, January 11, 2010

Hali ya Mafuriko Kilosa


Viti na makabati vikiwa nje ya hema mojawapo katika kambi ya Kilosa Town, mjini Kilosa

Chaga za vitanda na mabo zake vikiwa chini ya mwembe vimelowana kwa mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia Jumamosi Jan. 9, 2010. Vifaa hivyo ni mali za wahanga wanaoishi kwenye kambi ya Kilosa Town, mjini Kilosa.

Gari la Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) lilipita kwenye Mashamba ya mkonge na mahindi yaliyofunikwa na maji kutokana na mafuriko yaliyotokea wiki iliyopita wilayani Kilosa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...