Friday, January 29, 2010

Dk Shein ziarani Kenya



Mhandisi Mkuu wa Kituo cha kuzalisha umeme Mombasa Kenya Peter Onail kulia, akimueza jambo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein, wakati alipotembelea katika kituo hicho kuangali shuhuli za kiutendaji jana. Kulia ni Makamu wa Rais wa Kenya Dk. Kalonzo Musyoka.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...