Friday, January 29, 2010

Dk Shein ziarani Kenya



Mhandisi Mkuu wa Kituo cha kuzalisha umeme Mombasa Kenya Peter Onail kulia, akimueza jambo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein, wakati alipotembelea katika kituo hicho kuangali shuhuli za kiutendaji jana. Kulia ni Makamu wa Rais wa Kenya Dk. Kalonzo Musyoka.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...